Font Size
Mathayo 10:37-38
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:37-38
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
37 Wale wanaowapenda baba zao au mama zao kuliko wanavyonipenda mimi hawana thamani kwangu. Na wale wanaowapenda wana wao au binti zao kuliko wanavyonipenda mimi hawastahili kuwa wafuasi wangu. 38 Wale ambao hawataupokea msalaba waliopewa wanaponifuata hawastahili kuwa wanafunzi wangu na kunifuata.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International