Font Size
Luka 6:37-38
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 6:37-38
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Iweni Waangalifu Mnapokosoa Wengine
(Mt 7:1-5)
37 Msiwahukumu wengine, nanyi hamtahukumiwa na Mungu. Msiwalaani wengine nanyi hamtalaaniwa. Wasameheni wengine nanyi mtasamehewa. 38 Wapeni wengine vitu, nanyi mtapokea. Mtapewa vingi; kipimo chenye ujazo wa kusukwasukwa na kumwagika. Mungu atawapa ninyi kwa kadri mnavyotoa.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International