Font Size
Luka 22:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 22:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Nani Atamsaliti Yesu?
21 Yesu akasema, “Lakini hapa mezani kuna mkono wa yule atakayenisaliti kwa adui zangu. 22 Mwana wa Adamu atakufa kama Mungu alivyoamua. Lakini ole wake mtu yule atakayemsaliti Mwana wa Adamu ili auawe.”
23 Ndipo mitume wakaulizana, “Ni nani miongoni mwetu atafanya hivyo?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International