Add parallel Print Page Options

13 Mtumwa hawezi kuwatumikia mabwana wawili wakati mmoja, hata ninyi hamwezi. Utamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au utakuwa mwaminifu kwa mmoja na hautamjali mwingine. Pia, huwezi kumtumikia Mungu na pesa.”[a]

Read full chapter

Footnotes

  1. 16:13 pesa Au “mamona”, neno la Kiaramu linalomaanisha “utajiri”.