Add parallel Print Page Options

Msiionee Haya Imani Yenu

(Mt 10:32-33; 12:32; 10:19-20)

Ninawaambia, mkinikiri mbele za watu, ndipo nami[a] nitakiri kuwa ninyi ni wangu mbele za Mungu na malaika. Na atakayenikataa mimi mbele za watu, nami nitamkataa mbele za Mungu na malaika.

Read full chapter

Footnotes

  1. 12:8 nami Kwa maana ya kawaida, “Mwana wa Mtu” (Yesu Kristo).